Saturday, 18 May 2013


  SHIRECOP CO.LTD
KAMPUNI YA USHAURI WA KITAALAMU KATIKA UTAFITI NA BIASHARA NYANDA ZA JUU KUSINI
SOUTHERN HIGHLANDS RESEARCH, CONSULTANCY AND PUBLICATION COMPANY LIMITED
(SHIRECOP CO.LTD)

KARIBU UPATE USHAURI WAKO WA JINSI YA KUFANYA UTAFITI (RESEARCH) NA KUENDELEZA BIASHARA YAKO KWA UTULIVU NA KWA WAKATI13 MUAFAKA

CONTACTS
OFFICE-0252502792 au MOBILE-0713 629 303 AU 0768 538 263 AU 0766 461 068
WEBSITE: shirecop.blogsport.com


1.  UTANGULIZI
Kampuni ya ushauri wa kitaalamu katika utafiti na biashara (Southern Highlands Research, Consultancy  and Publication Company Limited (SHIRECOP.CO.LTD)) ni kampuni iliyosajiliwa na BRELA chini ya sheria za makampuni Tanzania na kupata namba ya usajili No. 83194. Makao makuu ya kampuni hii yapo Mbeya mjini eneo la Block. T, SIDO chumba namba 27 katika barabara itokayo Soweto kuelekea sekondari ya Southern Highlands.
2.  MALENGO
SHIRECOP inafanya kazi ya kutoa huduma kuu tatu:
i)            Utafiti (Research),
ii)          Ushauri wa kitaalamu wa biashara (business consultancy)
iii)        Uchapaji (Publication)

2.1      Huduma za utafiti
kampuni ya SHIRECOP inajihusisha na utafiti katika nyanya mbalimbaki kama
i)            tafiti za kitaaluma (academic research projects) kama za wanafunzi wa vyuo vikuu, taasisi za elimu, kiserikali n.k
ii)          tafiti za kibiashara (buisnes research) kama tafiti za masoko, bidhaa mpya, mbinu za ushindani n.k
iii)        tafiti za maendeleo kama za NGOs, CBOs, kijamii, kiuchumi n.k
2.1.2 Huduma kamili katika utafiti ni kama ifuatavyo;
i)            kuandaa pendekezo la utafiti (research proposal)
ii)          kuhariri kazi za utafiti (editing)
iii)        kuchapa kazi za utafiti
iv)         kuchambua data (data analysis) (kutumia Mannual, SPSS n.k
v)           kuandika ripoti (research report writing)
vi)         kuandaa mapitio ya vitabu (literature review) n.k
vii)       kusaidia kukusanya data (data collection assistance)
viii)     kuandaa kazi za kitaaluma (academic papers)

3.  Ushauri wa kitaalamu wa biashara (business consultancy)
Huduma hii inalenga kutoa ushauri wa kitaalamu wa namna wafanyabiashara wanavyoweza kuendeleza au kuanzisha biashara zao. Maeneo halisi ni kama;
i)            kuanzisha biashara (how to start a business)
ii)          kuendesha biashara (how to expand business)
iii)        kusimamia biashara (how to manage business)
iv)         kutafuta masoko (how to expand markets)
v)           kufufua biashara zinazolegalega au zilizokufa (how to revive poor performing or dead businesses)
vi)         kuandaa pendekezo la biashara (business proposal)
vii)       kuandaa ripoti ya biashara (business report)
viii)     kuandaa ripoti ya fedha (financial statements)
ix)         kusimamia na kufanya tenda (application and execution of tenders/bids)
x)           kusaidia kutafuta wafanyakazi (employment seekers)
walengwa wa huduma hizi ni wafanyabiashara wa kati na wadogo, makampuni, NGOs, SACCOS, taasisi za uma na binafsi, wajasiriamali n.k
4.  Huduma ya kusajili kampuni na vikundi
kampuni hii pia inatoa huduma ya kusadia vikundi, kampuni, taasisi au watu binafsi kujisajiri. Walengwa ni wale wanaotaka kusajiri kampuni, NGOs, CBOs n.k. huduma kamili ni kama zifuatazo;
i)            kuandaa katiba za vikundi, NGOs, kampuni na kadhalika (writing Memorandum and articles of association)
ii)           kusaida kusajili kampuni na NGOs
iii)        kuandaa pendekezo la miradi (project proposal writing)
iv)         kusimamia miradi (project execution assistance)
v)           kuandaa matamsha na matukio

5.  Huduma za utoaji taarifa na takwimu (Information Resource Centre)
hii ni huduma inayohusiana na utafutaji na utunzaji wa taarifa mbalimbali za kiuchumi, kijamii, kielimu, kitalii, kitamaduni, kisiasa n.k. walengwa ni watu, vikundi, watalii, wafanyabiashara, wanataaluma, wanasiasa na wajasiriamali wanaotaka kupata taarifa yoyote inayoweza kuwasaidia au kufanikisha malengo yao. Huduma mahususi ni kama;
i)            kutafuta taarifa za utalii (tourist information)
ii)          taarifa za kibiashara (business information)
iii)        taarifa za ajira (employment opportunities)
iv)         taarifa za viwanda (industrial information)
v)           taarifa za upatikanaji wa huduma za kijamii kama afya, elimu, maji n.k (social development information)
vi)         taarifa za kisiasa
vii)       taarifa kitaaluma (scholarships)

6.  Huduma za uchapaji, Internet na Steshenari
huduma hizi inapatikana ufisini kuanzia jumatatu hadi jumamosi. Huduma zenyewe ni kama;
i)            kuchapa kazi mbalimbali (typing and printing)
ii)          kutoa kopi  za rangi na zakawaida (photocopying- black & white na coloured)
iii)        kuchapa vitabu, majarida, brochures etc
iv)         kuscani (scanning)
v)           kutengeneza kadi za mialiko kama harusi, mikutano n.k
vi)         kutumia mtandao (internet surfing)
vii)       huduma za steshenari (kama vitabu, madaftari, peni n.k)
NB: HUDUMA MAALUM
  1. TUNAPOKEA ODA MAALUM ZA KUCHAPA, KUPRINT NA KUTOA KOPI KWA ODA MAALUMU (mf MITIHANI, TAARIFA ZA VIKAO, NYARAKA ZA KIOFISI, N.K KWA PUNGUZO MAALUMU
  2. TUNAKARIBISHA MAOMBI MAALUMU YA MATUMIZI YA COMPYUTA NA INTERNATE KWA BEI NAFUU KWA SIKU ZA WIKEND (Jumamosi na Jumapili)
  3. TUNAKARIBISHA WANATAALUMA, NA VIKUNDI AU TAASISI BINAFSI NA ZA SERIKALI KUTUMIA HUDUMA ZETU KWA MAHITAJI MAALUMU (mf, mafunzo ya computer kwa siku za wikend)
  4. TUNATOA HUDUMA ZA KUCHAPA KAZI ZA UTAFITI (RESEARCH) AU KIOFISI (OFFICIAL) KWA USALAMA MAKINI
  5. TUNAPOKEA TENDA ZA KUSAMBAZA  VIFAA VYA STESHENARI MAOFISINI


1 comment:

  1. thanks for visiting our site, you are welcome for further comments

    ReplyDelete