Monday, 25 November 2013

KIFAA KIPYA CHA KUPIMIA Malaria


Tanzania kuamua kutumia Kipimo kipya cha kugundua vijidudu vya Malaria kwa Haraka kijulikanacho kama MRDT (Malaria Rapid Diagnostic) [image: Photo: Wikiendi hii usikose kusikiliza Makala ya Haba na Haba ya Idhaa ya Kiswahili ya BBC. Tutaangalia baada ya Tanzania kuamua kutumia Kipimo kipya cha kugundua vijidudu vya Malaria kwa Haraka kijulikanacho kama MRDT (Malaria Rapid Diagnostic Test). Je Kipimo hiki kinapatikana katika hospitali zetu? Na pale kisipopatikana nini kinafanyika? na je kwa wananchi wasiopenda kupima hospitalini badala yake wanajinunulia dawa Pharmacy, Je ni sahihi

No comments:

Post a Comment