Saturday, 18 January 2014

wadudu kumbikumbi

Wengi wetu tumekuwa tukisikia kuwa kuna wadudu watamu sana na hupatikana sana hasa katika msimu wa Mvua, wadudu hao ambao ni Maarufu kwa jina la Kumbikumbi huanza kujitokeza wakati wa mvua hasa katika vichuguu vyao vikubwa ambavyo hufaamika kwa kuishi wadudu wengine wanaojulikana kwa jina la mchwa hawa hugeuka na kuja kuwa kumbikumbi. Mkoa wa Mbeya ni moja ya maeneo ambayo kunapatikana kumbikumbi kwa wingi sana . Hiki ni kichuguu ambacho kimefunikwa kwa umahili kabisa.
 

No comments:

Post a Comment