Wengi wetu tumekuwa tukisikia kuwa kuna wadudu watamu sana na hupatikana
sana hasa katika msimu wa Mvua, wadudu hao ambao ni Maarufu kwa jina la
Kumbikumbi huanza kujitokeza wakati wa mvua hasa katika vichuguu vyao
vikubwa ambavyo hufaamika kwa kuishi wadudu wengine wanaojulikana kwa jina
la mchwa hawa hugeuka na kuja kuwa kumbikumbi.
Mkoa wa Mbeya ni moja ya maeneo ambayo kunapatikana kumbikumbi kwa wingi
sana .
Hiki ni kichuguu ambacho kimefunikwa kwa umahili kabisa.
No comments:
Post a Comment