KATIKA SHINDANO LA TUZO YA HESHIMA YA SHERIA ZA VITA Tanzania yazibagwa
nchi sita barani Afrika katika mashindano ya vyuo vikuu ya kuwania tuzo
ya heshima ya sheria za vita yaliyomalizika hivi karibuni .
makamu Mkuu wa chuo kikuu cha Tumaini Iringa, Prof Nicholaus Bangu
kushoto akipokea tuzo ya heshima ya sheria za vita kutoka kwa mkuu
msaidizi wa kitivo cha sheria Jane Massey huku wanafunzi walioshinda
wakishuhudia zoezi hilo leo Washindi wa tuzo hiyo chuo kikuu cha Iringa
wakiwa na tuzo yao kushoto ni mkuu wa chuo Prof Nicholaus Bangu.
No comments:
Post a Comment